Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akikata Utepe na kuweka Jiwe la Msingi Ujenzi wa Wodi ya Mama na Mtoto katika Hospitali ya Wilaya ya Nyamagana Jijini Mwanza leo Disemba 08,2019, ikiwa ni moja ya mfululizo wa shamrashamra ya Maadhimisho ya Miaka 58 ya Uhuru na Miaka 57 ya Jamhuri yanayotegemewa kuadhimishwa kesho  Disemba  09 katika Uwanja wa CCM Kirumba Jijini Mwanza.

Baadhi  ya Wauguzi Jijini Mwanza wakimsikiliza Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan alipokuwa  akihutubia Viongozi na Wananchi wa Nyamagana Jijini Mwanza baada ya kuweka Jiwe la Msingi Ujenzi wa Wodi ya Mama na Mtoto katika Hospitali ya Wilaya ya Nyamagana leo Disemba 08,2019, ikiwa ni moja ya mfululizo wa shamrashamra ya Maadhimisho ya Miaka 58 ya Uhuru na Miaka 57 ya Jamhuri yanayotegemewa kuadhimishwa kesho  Disemba  09 katika Uwanja wa CCM Kirumba Jijini Mwanza.
Baadhi  ya Viongozi na Wananchi Jijini Mwanza wakimsikiliza Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan alipokuwa  akihutubia Viongozi na Wananchi wa Nyamagana Jijini Mwanza baada ya kuweka Jiwe la Msingi Ujenzi wa Wodi ya Mama na Mtoto katika Hospitali ya Wilaya ya Nyamagana leo Disemba 08,2019, ikiwa ni moja ya mfululizo wa shamrashamra ya Maadhimisho ya Miaka 58 ya Uhuru na Miaka 57 ya Jamhuri yanayotegemewa kuadhimishwa kesho  Disemba  09 katika Uwanja wa CCM Kirumba Jijini Mwanza. (Picha na Ofisi ya Makamu wa Rais)
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akihutubia Viongozi na Wananchi wa Nyamagana Jijini Mwanza baada ya kuweka Jiwe la Msingi Ujenzi wa Wodi ya Mama na Mtoto katika Hospitali ya Wilaya ya Nyamagana leo Disemba 08,2019, ikiwa ni moja ya mfululizo wa shamrashamra ya Maadhimisho ya Miaka 58 ya Uhuru na Miaka 57 ya Jamhuri yanayotegemewa kuadhimishwa kesho  Disemba  09 katika Uwanja wa CCM Kirumba Jijini Mwanza.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiagana na Viongozi na Wananchi wa Nyamagana Jijini Mwanza baada ya kuweka Jiwe la Msingi Ujenzi wa Wodi ya Mama na Mtoto katika Hospitali ya Wilaya ya Nyamagana leo Disemba 08,2019, ikiwa ni moja ya mfululizo wa shamrashamra ya Maadhimisho ya Miaka 58 ya Uhuru na Miaka 57 ya Jamhuri yanayotegemewa kuadhimishwa kesho  Disemba  09 katika Uwanja wa CCM Kirumba Jijini Mwanza.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...