Waziri wa Nchi,Ofisi ya Waziri Mkuu (Uwekezaji), Angellah Kairuki (wa pili kulia) akiwa ameambatana na Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara, Mhandisi Stela Manyanya pamoja Mkurugenzi Mtendaji wa Mamlaka ya Maendeleo ya Biashara Tanzania (TanTrade) , Edwin Rutageruka wakati wakitembelea Maonesho ya Nne ya Bidhaa za Viwanda vya Tanzania yanayofanyika katika Uwanja wa Maonesho wa Mwalimu J.K. Nyerere (Sabasaba) uliopo Barabara ya Kilwa, jijini Dar es Salaam. 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...