Waziri wa Nchi,Ofisi ya Waziri Mkuu (Uwekezaji), Angellah Kairuki (wa pili kulia) akiwa ameambatana na Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara, Mhandisi Stela Manyanya pamoja Mkurugenzi Mtendaji wa Mamlaka ya Maendeleo ya Biashara Tanzania (TanTrade) , Edwin Rutageruka wakati wakitembelea Maonesho ya Nne ya Bidhaa za Viwanda vya Tanzania yanayofanyika katika Uwanja wa Maonesho wa Mwalimu J.K. Nyerere (Sabasaba) uliopo Barabara ya Kilwa, jijini Dar es Salaam.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...