Balozi mpya wa Tanzania nchini afrika kusini Meja Jenerali Gaudence S Milanzi Jumanne Januari 28, 2020  amekabidhi hati ya utambulisho kwa Rais wa Afrika Kusini Mhe. Cyril Ramaphosa katika Ikulu ya nchi hiyo jijini Pretoria. Pamoja na Balozi wa Tanzania, mabalozi wengine 11 toka nchi za mbali mbali duniani nao walikabidhi hati zao za  utambulisho tayari kuanza kufanya kazi katika nchi hiyo.




Balozi mpya wa Tanzania nchini afrika kusini Meja Jenerali Gaudence S Milanzi akiwa na Afisa Ubalozi mwandamizi Bw. Richard Lupembe wakisimama tayari kuwasilisha hati

 Balozi mpya wa Tanzania nchini afrika kusini Meja Jenerali Gaudence S Milanzi  akijitambulisha kabla ya kukabidhi hati ya utambulisho kwa Rais wa Afrika Kusini Mhe. Cyril Ramaphosa katika Ikulu ya nchi hiyo jijini Pretoria. 
  Balozi mpya wa Tanzania nchini afrika kusini Meja Jenerali Gaudence S Milanzi  akikakabidhi hati ya utambulisho kwa Rais wa Afrika Kusini Mhe. Cyril Ramaphosa katika Ikulu ya nchi hiyo jijini Pretoria. 
  Balozi mpya wa Tanzania nchini afrika kusini Meja Jenerali Gaudence S Milanzi  akikaribishwa kuanza kazi rasmi baada ya kukabidhi hati ya utambulisho kwa Rais wa Afrika Kusini Mhe. Cyril Ramaphosa katika Ikulu ya nchi hiyo jijini Pretoria. 
  Balozi mpya wa Tanzania nchini afrika kusini Meja Jenerali Gaudence S Milanzi  akipata picha ya kumbukumbu baada ya kukabidhi hati ya utambulisho kwa Rais wa Afrika Kusini Mhe. Cyril Ramaphosa katika Ikulu ya nchi hiyo jijini Pretoria. 
 Balozi mpya wa Tanzania nchini afrika kusini Meja Jenerali Gaudence S Milanzi  na Afisa Ubalozi Mwandamizi Bw. Richard Lupembe wakipata picha ya pamoja na Rais wa Afrika Kusini Mhe. Cyril Ramaphosa katika Ikulu ya nchi hiyo jijini Pretoria. Picha na Ikulu ya Pretoria

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...