Balozi mpya wa Tanzania nchini Afrika kusini Meja General Gaudence S Milanzi leo amekabidhi hati ya utambulisho kwa Rais wa Afrika Kusini Ciril Ramaphosa Ikulu leo. Pamoja na Balozi wa tanzania, mabalozi wengine 11 toka nchi za mbali mbali duniani nao walikabidhi hati za utambulisho.
  Rais wa Afrika Kusini Ciril Ramaphosa pichani kati akiwa katika picha ya pamoja na Balozi mpya wa Tanzania nchini Afrika kusini Meja General Gaudence S Milanzi  (kushoto) mara baada ya kukabidhi hati ya utambulisho Ikulu leo.
Balozi mpya wa Tanzania nchini afrika kusini Meja General Gaudence S Milanzi leo amekabidhi hati ya utambulisho kwa Rais wa Afrika Kusini Ciril Ramaphosa Ikulu leo. Pamoja na Balozi wa tanzania, mabalozi wengine 11 toka nchi za mbali mbali duniani nao walikabidhi hati za utambulisho

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...