Mratibu wa kifua kikuu na Ukoma Hospitali ya wilaya Tunduru mkoani Ruvuma Dkt Mkasange Kihongole akitoa elimu juu ya ugonjwa wa kifua kikuu kwa wananchi wa kijiji cha Naikula wilayani humo kabla ya uzinduzi rasmi wa kampeni ya Uelimishaji,uchunguzi na Upimaji wa ugonjwa huo  ambayo itafanyika Nyumba kwa nyumba inayolenga kutokomeza kabisa kifua kikuu kabla ya mwaka 2030 katika wilaya hiyo.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...