MMILIKI wa Radio7 Antu Mandoza amechukua fomu ya kuomba ridhaa ya kuwania nafasi ya Uwakilishi ya Ubunge Viti Maalum kupitia Vijana mkoani Kagera.Uamuzi huo wa kuchukua fomu unakuwa ni wa mara ya pili kwani alijitosa kwa mara ya kwanza katika Uchaguzi Mkuu mwaka 2015.Mandoza ambaye pia anajihusisha na ujasiriamali amekuwa mdau mkubwa wa maendeleo katika jamii

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...