MMILIKI wa Radio7 Antu Mandoza amechukua fomu ya kuomba ridhaa ya kuwania nafasi ya Uwakilishi ya Ubunge Viti Maalum kupitia Vijana mkoani Kagera.Uamuzi huo wa kuchukua fomu unakuwa ni wa mara ya pili kwani alijitosa kwa mara ya kwanza katika Uchaguzi Mkuu mwaka 2015.Mandoza ambaye pia anajihusisha na ujasiriamali amekuwa mdau mkubwa wa maendeleo katika jamii
Subscribe to:
Post Comments (Atom)



Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...