Katibu wa CCM wa Wilaya ya Njombe Mjini (kushoto) akimkabidhi fomu ya kugombea Ubunge  Jimbo la Njombe Mjini Juju Danda ambaye alikiwa kiongozi mwandamizi wa vyama vya upinzani ambapo alihama chama  Cha NCCR- Mageuzi  akiwa Katibu Mkuu na kuungana na chama Cha Mapinduzi ikiwa ni kumuunga Mkono Rais Dkt.John Pombe Magufuli kwa uchapakazi wake wa kuwaeletea maendeleo wananchi katika Jimbo hilo hadi saa Saba waliochukua fomu ni wanachama 23.
Katibu wa CCM Wilaya ya Ilala Idd Mkowa mwenye (tisheti ya Njano) akimkabidhi  fomu  ya Kugombea ubunge  Jimbo la Segerea Meneja Msaidizi wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) Dkt.Raphael Mallaba leo jijini Dar es Salaam.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...