Mgombea Urais kupitia Chama cha Mapinduzi CCM Rais Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na Wananchi wa Arusha katika mkutano wa Kampeni za Urais uliofanyika katika uwanja wa Sheikh Amri Abeid jijini Arusha leo tarehe 23 Oktoba 2020
Sehemu ya wananchi wakifatilia hotuba ya Mgombea Urais kupitia Chama cha Mapinduzi CCM Rais Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli wakati akiwaomba kura katika mkutano wa Kampeni za Urais uliofanyika katika uwanja wa Sheikh Amri Abeid jijini Arusha leo tarehe 23 Oktoba 2020
PICHA NA IKULU
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...