
Mbunge wa jimbo la Masasi na Waziri Mteule wa Wizara ya Viwanda na Biashara Bw.Geoffrey Mwambe akipata maelezo kutoka kwa Maltin Malima Afisa Uhusiano Mamlaka ya Dawa na Vifaa Tiba TMDA wakati alipotembelea katika banda la mamlaka hiyo kwenye maonesho ya bidhaa za viwandani yanayoendelea kwenye viwanja wa Sabasaba barabara ya Kirwa jijini Dar es salaam leo
Mbunge wa jimbo la Masasi na Waziri Mteule wa Wizara ya Viwanda na Biashara Bw.Geoffrey Mwambe akiakioneshwa baadhi ya dawa wakati akipata maelezo kutoka kwa Maltin Malima Afisa Uhusiano Mamlaka ya Dawa na Vifaa Tiba TMDA alipotembelea banda hilo kwenye maonesho ya bidhaa za viwandani yanayoendelea kwenye viwanja wa Sabasaba barabara ya Kirwa jijini Dar es salaam leo
Picha zikionesha Maltin Malima Afisa Uhusiano Mamlaka ya Dawa na Vifaa Tiba TMDA na wafanyakazi wenzake wakiwa kwenye banda hilo kwenye maonesho ya bidhaa za viwandani yanayoendelea kwenye viwanja wa Sabasaba barabara ya Kirwa jijini Dar es salaam leo

Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...