NAIBU Waziri wa Maji, Mhandisi Marryprisca Mahundi ametengua nafasi za mameneja wawili wa Mamlaka za maji mkoani Songwe kwa kushindwa kusimamia miradi mbalimbali ya maji katika Wilaya zao.
Waliotenguliwa ni Kaimu Meneja wa Maji katika Mji wa Tunduma, Peter Clement ambaye licha ya Serikali kutoa kiasi cha fedha shilingi Bilioni tatu nukta tatu lakini ameshindwa kuusimamia pamoja na Meneja wa Mamlaka ya Maji na Usafi wa Mazingira Vwawa na Mlowo, Akiba Kibona kwa kushindwa kutimiza majukumu yake inavyotakiwa.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...