Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Mary Francis Masanja ( wa pili kutoka kushoto mbele) akiongoza mazoezi ya kutembea na kukimbia yaliyowahusisha Wananchi na viongozi mbalimbali wa Halmashauri ya Wilaya ya Magu akiwemo Mkuu wa Wilaya ya hiyo Mhe. Salum Kalli. Kupitia matembezi hayo Mhe. Masanja amewahimiza wananchi waanzishe mashamba ya miti na kupanda miti katika maeneo yao ili waweze kunufaika na Sekta hiyo.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...