Mwandishi wa Habari na Mhadhiri wa chuo Kikuu cha Dar es Salaam Egbert Mkoko, leo ametunukiwa shahada ya udaktari wa falsafa katika uandishi wa habari (PhD in Journalism and Media Studies) katika Chuo Kikuu cha Nelson Mandela mjini Port Elizabeth, Afrika Kusini.
Dr. Mkoko anakuwa ni mtanzania wa Kwanza kupata PHD katika Uandishi wa habari.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...