RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali
Mwinyi akizungumza na waandishi wa habari wa vyombo mbalimbali vilioko
Zanzibar, akitowa taarifa ya Serikali kuhusiana na Kampuni ya Masterlife
Microfinance Ltd, iliyokuwa ikiendesha shughuli za kifedha ikiwemo
kupokea amana na kutoa mikopo kinyume cha Sheria na taratibu za Nchi,
mkutano huo umefanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar leo
6/4/2021.
Home
HABARI
ZANZIBAR
RAIS WA ZANZIBAR DKT. HUSSEIN ALI MWINYI AZUNGUMZA NA WAANDISHI WA HABARI KUHUSIANA NA KAMPUNI YA MASTERLIFE MICROFINANCE LTD
Subscribe to:
Post Comments (Atom)


Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...