Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na Mjane wa Hayati Edward Moringe Sokoine,  Napono Sokoine kwenye Makazi ya Waziri Mkuu, Oysterbay Dar es salaam, Mei 3, 2021. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa na mkewe Mary Majaliwa wakizungumza na Mjane wa Hayati Edward Moringe Sokoine, Napono Sokoine (wapili kulia) kwenye makazi ya Waziri Mkuu, Oysterbay Dar es salaam, Mei 3, 2021. Wa pili kulia ni Balozi, Joseph Sokoine na wa tatu kulia ni Namerok Sokoine. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)


 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...