Kazi mbalimbali za ujenzi wa Meli mpya ya MV. Mwanza Hapa Kazi Tu ukiendelea kwa kasi kubwa katika Bandari ya Mwanza Kusini. Ujenzi wa Meli hiyo umefikia asilimia 74% na unatarajiwa kukamilika mapema mwakani.

Meli hii itakuwa na uwezo wa kubeba abiria 1200 pamoja na mizigo tani 400, na inatarajiwa kufanya safari za kutoka Mwanza-Bukoba, Musoma na nchini Uganda. Hapo jana Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan alitembelea kukagua ujenzi wa Meli hiyo mkoani Mwanza.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...