Askofu Josephat Gwajima wa Kanisa la Ufufuo na Uzima akiomba kubadilishiwa kiti alichoandaliwa kukaa wakati kikao cha kuhojiwa na tayari kuhojiwa na Kamati ya Haki, Maadili na Madaraka ya Bunge kuhusu tuhuma za kusema uongo na kushusha hadhi na heshima ya Bunge jijini Dodoma leo Agosti 23,2021. Pia aliomba abadilishiwe kipaza sauti.PICHA ZOTE NA RICHARD MWAIKENDA
Askofu Gwajima akikalia kiti baada ya kubadilishiwa.
Akiweka sawa kipaza sauti baada ya kubadilishiwa

Askofu Gwajima akiwa amekaa tayari kwa kuhojiwa.



Mwenyekiti wa Kamati ya Haki, Maadili na Madaraka ya Bunge, Emmanuel Mwakasaka akiongoza kikao hicho.



Wajumbe wa Kamati hiyo wakiwa kwenye kikao hicho.PICHA ZOTE NA RICHARD MWAIKENDA



Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...