Katibu Mkuu wa CCM Ndugu
Daniel Chongolo akihutubia wajumbe wa Kamati ya Siasa ya mkoa wa Kagera
kwenye ukumbi wa Kayago mara baada ya mapokezi alipowasili mkoani humo
ikiwa siku ya kwanza ya ziara yake pamoja na Wajumbe wa Sekretarieti ya
Halmashauri Kuu ya CCM Taifa yenye lengo la kukagua, kuhamasisha na
kusimamia utekelezaji wa ilani ya uchaguzi ya CCM ya mwaka 2020-2025,
leo Nyakanazi wilayani Biharamulo. (Picha na CCM Makao Makuu)
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu
Daniel Chongolo akiteta jambo na Naibu Katibu Mkuu (Bara) Ndugu
Christina Mndeme wakati wa kikao cha kupokea taarifa za Chama na
Serikali kwenye ukumbi wa Kayago mara baada ya mapokezi alipowasili
mkoani Kagera ikiwa siku ya kwanza ya ziara yake pamoja na Wajumbe wa
Sekretarieti ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa yenye lengo la kukagua,
kuhamasisha na kusimamia utekelezaji wa ilani ya uchaguzi ya CCM ya
mwaka 2020-2025, leo Nyakanazi wilayani Biharamulo, Kagera. (Picha na
CCM Makao Makuu)
Baadhi ya Wajumbe wa Kamati ya Siasa ya mkoa wa Kagera wakiwa kwenye ukumbi wa Kayago tayari Kumsikiliza Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Daniel Chongolo pamoja na Wajumbe wa Sekretarieti ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa ambao wapo kwenye ziara yenye lengo la kukagua, kuhamasisha na kusimamia utekelezaji wa ilani ya uchaguzi ya CCM ya mwaka 2020-2025, leo Nyakanazi wilayani Biharamulo. (Picha na CCM Makao Makuu)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...