Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi Ndugu Daniel Chongolo akifurahia jambo na Mwanasiasa Mkongwe aliyewahi kushika nyadhifa mbalimbali  nchini, Naibu Katibu Mkuu wa CCM (Bara) Mstaafu, Kapteni John Chiligati mara baada ya kumaliza matembezi ya mshikamano kwenye kilele cha maadhimisho ya sherehe za miaka 45 ya kuzaliwa kwa Chama Cha Mapinduzi yanayofanyika Kitaifa mkoani Mara.

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi Ndugu Daniel Chongolo akizungumza mara baada ya matembezi ya mshikamano kuelekea kilele cha maadhimisho ya sherehe za miaka 45 ya kuzaliwa kwa Chama Cha Mapinduzi yanayofanyika Kitaifa mkoani Mara.(Picha na CCM Makao Makuu)
 Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi Ndugu Daniel Chongolo aongoza matembezi ya mshikamano kwenye kilele cha maadhimisho ya sherehe za miaka 45 ya kuzaliwa kwa Chama Cha Mapinduzi yanayofanyika Kitaifa mkoani Mara.(CCM Makao Makuu)


Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi Ndugu Daniel Chongolo, Naibu Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (Bara) Ndugu Christina Mndeme (kushoto), Spika wa bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Tulia Ackson, Waziri Mkuu Mstaafu Mhe. Mizengo Pinda (kulia) wakiwa tayari kuanza matembezi ya mshikamano kuelekea kilele cha maadhimisho ya sherehe za miaka 45 ya kuzaliwa kwa Chama Cha Mapinduzi yanayofanyika Kitaifa mkoani Mara.(CCM Makao Makuu)








 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...