Waziri wa Nchi  Ofisi ya Waziri  Mkuu anayeshughulikia ( Sera, Bunge na Uratibu) Mhe. Balozi. Dkt. Pindi Chana akiongoza kikao cha kujadili Bajeti ya Tume ya Kudhibiti UKIMWI Tanzania (TACAIDS) na Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana  na Dawa za Kulevya katika (DCEA) kaika Ukumbi wa Ofisi ya Waziri Mkuu Ngome Jijini Dodoma.

Naibu Waziri  Ofisi ya Waziri  Mkuu anayeshughulikia ( Sera, Bunge na Uratibu) Mhe. Ummy Nderiananga  akifafanua jambo wakati wa kikao cha kujadili Bajeti ya Tume ya Kudhibiti UKIMWI Tanzania (TACAIDS) na Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana  na Dawa za Kulevya   (DCEA)  katika Ukumbi wa Ofisi ya Waziri Mkuu Ngome  Jijini Dodoma.

Naibu  Katibu  Mkuu  Ofisi ya Waziri  Mkuu ( Sera, Bunge na Uratibu) Bw. Kaspar Mmuya   (wa kwanza kulia) akieleza jambo katika kikao hicho na (katikati) ni  Waziri   wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu  Mhe. Balozi. Dkt. Pindi Chana na anayefuata ni Naibu Waziri wake Mhe. Mhe. Ummy Nderiananga kikao kilichofanyika  Ukumbi wa Ofisi ya Waziri Mkuu Ngome  Jijini Dodoma.

Mkurugenzi Mtendaji wa Tume ya Kudhibiti UKIMWI Tanzania (TACAIDS), Dkt. Leonard Maboko akichangia hoja wakati wa kikao cha kujadili Bajeti ya Tume ya Kudhibiti UKIMWI Tanzania (TACAIDS) katika Ukumbi wa Ofisi ya Waziri Mkuu Ngome  Jijini Dodoma.

Kamishina Jenerali wa Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya Bw. Gerald Kusaya akichangia hoja wakati wa kikao cha kujadili Bajeti ya Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana  na Dawa za Kulevya   (DCEA)  katika Ukumbi wa Ofisi ya Waziri Mkuu Ngome  Jijini Dodoma.

Baadhi ya washiriki  waliohudhuria kikao cha kujadili Bajeti ya Tume ya Kudhibiti UKIMWI Tanzania (TACAIDS) na Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana  na Dawa za Kulevya   (DCEA)  wakifuatilia kikao hicho katika Ukumbi wa Ofisi ya Waziri Mkuu Ngome  Jijini Dodoma.

(PICHA ZOTE NA OFISI YA WAZIRI MKUU)

(SERA, BUNGE NA URATIBU)


 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...