Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia ( Sera, Bunge na Uratibu) Mhe. Balozi. Dkt. Pindi Chana akiongoza kikao cha kujadili Bajeti ya Tume ya Kudhibiti UKIMWI Tanzania (TACAIDS) na Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya katika (DCEA) kaika Ukumbi wa Ofisi ya Waziri Mkuu Ngome Jijini Dodoma.
Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia ( Sera, Bunge na Uratibu) Mhe. Ummy Nderiananga akifafanua jambo wakati wa kikao cha kujadili Bajeti ya Tume ya Kudhibiti UKIMWI Tanzania (TACAIDS) na Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA) katika Ukumbi wa Ofisi ya Waziri Mkuu Ngome Jijini Dodoma.
Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu ( Sera, Bunge na Uratibu) Bw. Kaspar Mmuya (wa kwanza kulia) akieleza jambo katika kikao hicho na (katikati) ni Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Mhe. Balozi. Dkt. Pindi Chana na anayefuata ni Naibu Waziri wake Mhe. Mhe. Ummy Nderiananga kikao kilichofanyika Ukumbi wa Ofisi ya Waziri Mkuu Ngome Jijini Dodoma.
Mkurugenzi Mtendaji wa Tume ya Kudhibiti UKIMWI Tanzania (TACAIDS), Dkt. Leonard Maboko akichangia hoja wakati wa kikao cha kujadili Bajeti ya Tume ya Kudhibiti UKIMWI Tanzania (TACAIDS) katika Ukumbi wa Ofisi ya Waziri Mkuu Ngome Jijini Dodoma.
Kamishina Jenerali wa Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya Bw. Gerald Kusaya akichangia hoja wakati wa kikao cha kujadili Bajeti ya Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA) katika Ukumbi wa Ofisi ya Waziri Mkuu Ngome Jijini Dodoma.
Baadhi ya washiriki waliohudhuria kikao cha kujadili Bajeti ya Tume ya Kudhibiti UKIMWI Tanzania (TACAIDS) na Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA) wakifuatilia kikao hicho katika Ukumbi wa Ofisi ya Waziri Mkuu Ngome Jijini Dodoma.
(PICHA ZOTE NA OFISI YA WAZIRI MKUU)
(SERA, BUNGE NA URATIBU)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...