NCHI za Tanzania Burundi na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC,) zimeanza mchakato wa kumtafuta mtaalamu atakayesimamia Ujenzi wa reli ya kisasa kwa vipande vya Uvinza, Musongati na Gitega.
Hii inakuja siku chache tangu Nchi hizi zisaini makubaliano ya awali kuhusu kuanza mchakato wa kutafuta fedha kwa wahisani zitakazofanikisha ujenzi huo.
Haya yamesemwa na katibu mtendaji wa taasisi ya Ushoroba wa kati Capten Dioudone Dukundane wakati wa mahojiano maalum na wanahabari.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...