NCHI za Tanzania Burundi na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC,) zimeanza mchakato wa kumtafuta mtaalamu atakayesimamia Ujenzi wa reli ya kisasa kwa vipande vya Uvinza, Musongati na Gitega.

Hii inakuja siku chache tangu Nchi hizi zisaini makubaliano ya awali kuhusu kuanza mchakato wa kutafuta fedha kwa wahisani zitakazofanikisha ujenzi huo.

Haya yamesemwa na katibu mtendaji wa taasisi ya Ushoroba wa kati Capten Dioudone Dukundane wakati wa mahojiano maalum na wanahabari.


Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...