Anfield utachezwa mchezo wa EPL kati ya Liverpool na Tottenham Hotspurs. Licha ya Liverpool kujihakikishia nafasi ya kucheza fainali ya UEFA mwishoni mwa mwezi huu, bado yupo kwenye kinyang’anyiro cha EPL akichuana vikali na Man City. Spurs naye anaipambania nafasi ya 4 kwenye EPL akichuana vikali na Arsenal na Chelsea. Huu ni mchezo mzito, Meridianbet tumeurahisisha kwa kukuwekea Odds ya 1.45 kwa Liverpool.
Ureno kutapigwa mtanange mkali kati ya wababe, Benfica vs FC
Porto.
Zinapokutana timu hizi nyavu lazima zitingishike, iwe ni ligi, mchezo wa
kirafiki au mashindano ya aina yeyote. Upinzani ni mkali. Hamishia upinzani wao
kwenye pesa, ifuate Odds
ya 2.17 kwa Porto.
Ni jumapili tulivu inayoongozwa kwa mtangane wa Madrid Derby.
Dimba la Wanda Metropolitano kusimamia mchezo wa Atletico
Madrid vs Real Madrid.
Vijana wa Ancelotti wameshatwaa ubingwa wa LaLiga licha ya msimu kua haujaisha,
wanakwenda kuchuana na Simeone ambaye bado anaisaka nafasi ya 4 kwa udi na
uvumba. Odds ya 2.07
ipo kwa Atletico Madrid kupitia Meridianbet.
Wakati Ajax ikijiweka tayari kwa maisha mapya bila Erik Ten Hag
msimu ujao, bado wanapambania kutwaa taji la 3 la Ligi Kuu soka nchini
Uholanzi. Nyuma yao kuna PSV ambao
watakua na kibarua kizito dhidi ya Feyernoord. Mbizo za kuwania ubingwa ni kali nchini Uholanzi, nani ni nani? Maliza utata
kwa Odds ya 2.35 kwa Feyernoord.
Wote wameshajijua hawachezi Ligi ya Mabingwa msimu ujao lakini, Fiorentina vs
AS Roma sio mchezo
wa kuubeza. Serie A inakupa nafasi ya kutengeneza pesa Jumatatu, ianze wiki
yako ukiwa na kitita mfukoni! Meridianbet
tumekuwekea Odds ya 2.50 kwa Fiorentina.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...