Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi Ndugu Daniel Chongolo akihutubia wakati wa ufunguzi wa masomo awamu ya tatu katika Shule ya Uongozi ya Mwalimu Julius Nyerere, Kibaha mkoani Pwani leo tarehe 25, Mei 2022.
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi Ndugu Daniel Chongolo akifuatilia hotuba ya Waziri wa Idara ya Mambo ya Nje ya CPC Comrade Song Tao (hayupo pichani) wakati wa ufunguzi wa masomo awamu ya tatu katika Shule ya Uongozi ya Mwalimu Julius Nyerere, Kibaha mkoani Pwani leo tarehe 25, Mei 2022.


Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...