Samia
ameyasema hayo wakati akizungumza na wakazi wa Mkoa wa Njombe na
kubainisha kuwa Filamu hiyo ambayo itaitwa THE HIDEN TANZANIA
itajumuisha vivutio vyote vya utalii visivyomaarufu.
Ujio wa 'The Hiden Tanzania' unalenga kuendeleza mpango kazi wa kutangaza sekta ya utalii nchini Tanzania.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...