MAKAMU wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt.Philip Isdor Mpango akitowa mkono wa Pole kwa Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Awamu ya Pili Alhaj Ali Hassan Mwinyi, kwa kufiwa na Mtoto wake Marehemu Hassan Ali Hassan Mwinyi, na (kulia kwa Mzee Mwinyi) Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi, alipofika nyumbani kwa marehemu kutowa mkono wa pole kwa familia leo 4-9-2022.(Picha na Ikulu)MAKAMU wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt.Philip Isdor Mpango akiwa na Mkewe Mama Mbonimpaye Mpango , wakitowa mkono wa Pole kwa Rais Mstafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Awamu ya Pili Alhaj.Ali Hassan Mwinyi, kwa kufiliwa na mtoto wake Marehemu Hassan Ali Hassan Mwinyi alipofika nyumbani kwa marehemu Chukwani Wilaya ya Magharibi “B” Unguja leo 4-9-2022 na (kulia kwa Mzee Mwinyi) Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi. kutoa mkono wa pole kwa familia ya marehemu.(Picha na Ikulu)

MAKAMU wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt.Philip Isdor Mpango akitowa mkono wa Pole kwa Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Awamu ya Pili Alhaj Ali Hassan Mwinyi, kwa kufiwa na Mtoto wake Marehemu Hassan Ali Hassan Mwinyi, na (kulia kwa Mzee Mwinyi) Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi, alipofika nyumbani kwa marehemu kutowa mkono wa pole kwa familia leo 4-9-2022.(Picha na Ikulu)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...