RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akimkabidhi zawadi mgeni wake Rais wa Chuo Kikuu cha Kimataifa cha Al Mustafa cha Nchini Iran Dr. Ali Abbasi baada ya kumaliza mazungumzo yao yaliyoyofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar leo 10-9-2022, na (kulia kwake) Balozi wa Iran Nchini Tanzania Mhe.Hossein Alvandi Bahineh.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiagana na Balozi wa Iran Nchini Tanzania Mhe. Hossein Alvandi Bahineh, baada ya kumaliza mazungumzo na Ujumbe wa Chuo Kikuu cha Kimataifa cha Al Mustafa kutoka Nchini Iran, mazungumzo hayo yaliyofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar leo 10-9-2022.( na Ikulu)
RAIS
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali
Mwinyi akizungumza na Rais wa Chuo Kikuu cha Kimataifa cha Al – Mustafa
kutoka Nchini Iran Dr.Ali Abbasi (mwenye kilemba) alipofika Ikulu
Jijini Zanzibar kwa mazungumzo yaliofanyika katika ukumbi wa Ikulu leo
10-9-2022 na (kulia kwa Rais) Balozi wa Iran Nchini Tanzania Mhe.Hossein
Alvandi Bahineh.
RAIS
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali
Mwinyi akizungunza na Ujumbe wa Uongozi wa Chuo Kikuu cha Kimataifa cha
Al- Mustafa kutoka Nchini Iran ukiongozwa na Rais wa Chuo hicho Dr.Ali
Abbasi na (kulia kwa Rais) Balozi wa Iran Nchini Tanzania Mhe,. Hossein
Alvandi Bahineh, mazungumzo hayo yaliyofanyika katika ukumbi wa Ikulu
Jijini Zanzibar
RAIS
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali
Mwinyi akizungunza na Ujumbe wa Uongozi wa Chuo Kikuu cha Kimataifa cha
Al -Mustafa kutoka Nchini Iran ukiongozwa na Rais wa Chuo hicho Dr.Ali
Abbasi,mazungumzo hayo yaliyofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini
Zanzibar
Home
HABARI
RAIS MWINYTI AKUTANA NA KUZUNGUMZA NA UJUMBE WA CHUO KIKUU CHA AL MUSTAFA CHA IRAN UKIONGOZWA NA MWENYEKITI WA CHUO HICHO DR.ALI ABBASI
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...