Na John Walter-Manyara
Mwenyekiti wa shirika lisilo la kiserikali la ECLAT Foundation, Peter Toima, amechaguliwa kuwa Mwenyekiti mpya wa Chama Chama cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Manyara.
Msimamizi wa Uchaguzi huo Mkuu wa mkoa wa Dodoma, Rosemary Senyamule akitangaza matokeo hayo amesema, Toima ameshinda kuwa Mwenyekiti wa CCM mkoa huo kwa kupata kura 423 kwenye uchaguzi uliofanyika Novemba 21,2022.
Senyamule amesema Mwenyekiti aliyemaliza muda wake Simon Lulu amepata kura 391 na Fratern Kwahhison ambaye hakuwa ukumbini amepata kura tatu.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...