


Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na viongozi mbalimbali wakati alipowasili kwenye uwanja wa ndege wa Mwanza ambako alikuwa mgeni rasmi katika Maadhimisho ya Wiki ya Nenda kwa Usalama kwenye viwanja vya Furahisha, Machi 14, 2023. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akimsikiliza Mkaguzi wa Polisi, Dumu Mwalugege (kulia) ambaye alitoa maelezo kuhusu alama za usalama barabarani katika maonyesho ya Maadhimisho ya Wiki ya Nenda kwa Usalam Barabarani yaliyofanyika kitaifa kwenye viwanja vya Furahish jijini Mwanza, Machi 14, 2023. Kushoto kwake ni Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Jumanne Sagini, kushoto ni Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Adam Malima na wa pili kushoto ni Inspekta Jenerali wa Jeshi la Polisi, Camilius Wambura. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiteremka kutoka kwenye basi baada ya kulikagua akiwa mgeni rasmi katika Maadhimisho ya Wiki ya Nenda kwa Usalama Barabarani yaliyofanyika kwenye viwanja vya Furahisha jijini Mwanza, Machi 14, 2023. Wa pili kulia ni Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Adam Malima. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...