Kutoka Kushoto ni Mkurugenzi  Mkazi wa Shirika la  TradeMark  Africa (TMA) Monica Hangi na Mwenyekiti wa Chama Cha Wanawake Wafanyabiashara  Tanzania (TWCC) Mwajuma Hamza walipokua wakizungumza leo na Waandishi wa Habari hawapo pichani kwenye mkutano uliofanyika Hoteli ya Four Point zamani New Africa Jijini Dar  es Salaam.

Na Khadija Kalili
MWENYEKITI wa  Chama  Cha  Wanawake  Wafanyabiashara  Tanzania (TWCC) Mwajuma Hamza  ametoa wito  kwa wanawake wajasiriamali na wafanyabiashara  kushiriki  katika  maadhimisho  ya siku  ya wanawake  duniani  ambayo yanatarajiwa  kufanyika  Machi  9  hadi 12 mwaka huu.

Mwenyekiti huyo wa TWCC amesema hayo leo asubuhi alipozungumza kwenye mkutano na waandishi wa habari uliofayika katika Hoteli ya Four Point Jijini Dar es Salaam.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...