Mwenyekiti wa Jumuiya ya Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi Taifa Komredi Mohammed Ali Kawaida (MCC),akizungumza na Vijana wote nchini kupitia mkutano maalum uliofanyika katika tarehe 20 Oktoba, 2023 Viwanja vya Vijana Social Kinondoni Dar es Salaam .

......................

Mwenyekiti wa Jumuiya ya Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi Taifa Komredi Mohammed Ali Kawaida (MCC) amezungumza na Vijana wote nchini kupitia mkutano maalum uliofanyika katika tarehe 20 Oktoba, 2023 Viwanja vya Vijana Social Kinondoni Dar es Salaam .

Lengo la mkutano huo ilikua Mwenyekiti Ndugu Kawaida kutoa maelekezo Mahsusi ya kiutendaji kwa Katibu Mkuu wa Jymuiya ya Umoja wa Vijana wa Chama cha Malinduzi Komredi Fakii Raphael Lulandala (MNEC) na Viongozi wote wa Jumuiya ya Umoja wa Vijana Nchini.

Mkutano huo umehudhuriwa na Makamu Mwenyekiti UVCCM Komredi Rehema Sombi Omary (MNEC) Katibu Mkuu UVCCM Komredi Fakii Raphael Lulandala (MNEC) , Wakuu wa Idara za UVCCM Taifa na Watendaji wa Jumuiya kutoka Mikoa yote nchini, Baadhi ya Wenyeviti wa Jumuiya kutoka Mikoa jirani, na Maelfu ya Wanachama kutoka Mkoa wa Dar es salaam.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...