Unakaribishwa kuhudhuria shughuli yetu ya kuwarehemu Ndugu, Jamaa na Marafiki zetu wa Club za Tazara, Singasinga, Sigara , Checkpoint, Mango Garden, Masai ambao wametangulia mbele za haki. 


Shughuli hii, ambayo iliasisiwa na Marehemu Balozi Cisco Mtiro, itafanyika katika viwanja vya Leader's Club jijini Dar siku ya Jumamosi 25/11/2023 kuanzia saa 5 asubuhi. 


Kutakuwa na Sala/Dua kutoka kwa Sheikh na Padre na baada ya hapo kutakuwa na chakula kwa wote. 


Wote mnakaribishwa



























Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...