Unakaribishwa kuhudhuria shughuli yetu ya kuwarehemu Ndugu, Jamaa na Marafiki zetu wa Club za Tazara, Singasinga, Sigara , Checkpoint, Mango Garden, Masai ambao wametangulia mbele za haki.
Shughuli hii, ambayo iliasisiwa na Marehemu Balozi Cisco Mtiro, itafanyika katika viwanja vya Leader's Club jijini Dar siku ya Jumamosi 25/11/2023 kuanzia saa 5 asubuhi.
Kutakuwa na Sala/Dua kutoka kwa Sheikh na Padre na baada ya hapo kutakuwa na chakula kwa wote.
Wote mnakaribishwa
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...