


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa na Rais wa Benki ya Maendeleo ya Afrika (AfDB) Dkt. Akinwumi Adesina pamoja na viongozi mbalimbali wakati wa Kikao baina ya Ujumbe wa Tanzania na Wawekezaji kando ya Mkutano wa Jukwaa la Uwekezaji Barani Afrika, Marrakesh nchini Morocco tarehe 08 Novemba, 2023.
Kikao hicho kimejadili mradi wa Ujenzi wa Reli ya Kisasa ya Kusini (SGR) kutoka Mtwara – Mbambabay na Tawi la kwenda Mchuchuma hadi Liganga pamoja na Mradi wa ujenzi wa Bandari mpya na ya kisasa ya Mangapwani.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...