Dakika 90 za Mchezo wa Kariakoo Dabi Uwanja wa Mkapa Jijini Dar es salaam zimemalizika kwa shangwe kubwa kwa Yanga SC na kilio kizito kwa Simba SC!!! Yanga SC wameichakaza Simba SC Bao 5 - 1.
Kipindi cha pili Yanga walionyesha wanahitaji ushindi na kufunga mabao kupitia kwa Maxi Nzengeli ambaye alifunga mawili dakika ya 64, 77, Aziz KI dakika ya 73, Pacome bao la tano dakika ya 87 kwa mkwaju wa penalti.
Dakika 45 za mwanzo ubao umesoma Simba 1-1 Yanga.
Bao la Yanga lilifungwa dakika ya tatu na Kennedy Musonda na bao la Simba limefungwa na Kibu Dennis dakika ya 8.
.jpeg)

Kipindi cha pili Yanga walionyesha wanahitaji ushindi na kufunga mabao kupitia kwa Maxi Nzengeli ambaye alifunga mawili dakika ya 64, 77, Aziz KI dakika ya 73, Pacome bao la tano dakika ya 87 kwa mkwaju wa penalti.
Dakika 45 za mwanzo ubao umesoma Simba 1-1 Yanga.
Bao la Yanga lilifungwa dakika ya tatu na Kennedy Musonda na bao la Simba limefungwa na Kibu Dennis dakika ya 8.
.jpeg)

Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...