Rais Mstaafu Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete, ambaye ni Mwenyekiti wa Jopo la Wazee wa SADC (SADC Panel of Elders-POE akitembelea mojawapo ya vituo vya kupigia kura jijini Kinshasha katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) ambako yuko kushiriki Misheni ya SADC kwenye uchaguzi wa nchi hiyo uliofanyika jana tarehe 20 Desemba 2023.

 

Rais Mstaafu Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete, ambaye ni Mwenyekiti wa Jopo la Wazee wa SADC (SADC Panel of Elders-POE)  akiongea na Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi na timu yake wa DRC  jijini Kinshasha katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) ambako yuko kushiriki Misheni ya SADC kwenye uchaguzi wa nchi hiyo uliofanyika jana tarehe 20 Desemba 2023.

Rais Mstaafu Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete, ambaye ni Mwenyekiti wa Jopo la Wazee wa SADC (SADC Panel of Elders-POE)  akiongea Timu ya Uangalizi Uchaguzi (SADC Election Observation Mission, SEOM) jijini Kinshasha katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) ambako yuko kushiriki Misheni ya SADC kwenye uchaguzi wa nchi hiyo uliofanyika jana tarehe 20 Desemba 2023.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...