Afisa Mtendaji Mkuu wa PPRA Bw. Eliakim Maswi (kati), Mtendaji Mkuu wa Mamlaka ya Udhibiti wa Ununuzi wa Umma ya Burundi (ARMP) Bw. Nduwimana Cloude (kulia kwake) na Viongozi waandamizi wa ARMP wakiwa Makao Makuu ya PPRA Dodoma kwa ziara ya kujifunza kuhusu mfumo wa Ununuzi wa umma kielektroniki (NeST) leo Januari 29, 2024.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...