"Nchi yetu karibuni itaingia katika mfumo wa Bima ya Afya kwa kila mtu. Hivyo basi, sheria hii itakapokuja kuanza kutumika rasmi sisi Strategis tukiwa moja ya wadau wakuu wa kutoa huduma hiyo tumejipanga vyema katika kuimarisha na kutoa huduma bora.
"Vile vile tutaendelea pia kutoa elimu kuhusiana na umuhimu wa kila mtu kuwa na bima ya Afya…” amesema Bi Fatma.
Wakiwa na nyuso za tabasamu, wafanyakazi wa Strategis Insurance wakiwa katika picha ya pamoja walipofika katika hospitali ya Mwananyamala jijini Dar es salaam kutoa misaada kwa ajili ya kina mama na watoto wanaopatiwa matibabu katika hospitali hiyo ya Rufaa,
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...