Rais Mstaafu Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete ameungana na mamia ya waombolezaji katika mazishi ya marehemu Abbas Kuka, aliyekuwa mchezaji wa zamani wa @simbasctanzania na Red Star, katika makaburi ya Mwinyimkuu Magomeni mapipa jijini Dar Jumapili Machi 31, 2024.

Marehemu Kuka, anayekumbukwa kamammoja wa viuongo bora nchini, alikuwa miongoni mwa wachezaji wa Simba walioweka historia mwaka 1979 ambapo baada ya Simba kufungwa nyumbani Dar es salaam 0-4 na

Mufulira Wanderers FC ya Zambia kwenye mashindano ya ubingwa wa Afrika, katika mechi ya marudiano ugenini walipindua meza na kuwafunga Mufulira Wanderers 5-0!

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...