Katibu wa NEC, itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama cha Mapinduzi (CCM) CPA. Amos Gabriel Makalla leo Julai 17, 2024 amekagua uwanja wa Mpira wa Miguu unaomilikiwa na Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni, unaotumika na Klabu ya KMC inayoshiriki Ligi kuu ya Tanzania Bara.

CPA. Makalla ambae pia ni Mlezi wa Chama cha Mapinduzi (CCM) mkoa wa Dar es Salaam, amekagua Uwanja huo, ikiwa ni katika muendelezo wa ziara yake yenye lengo la kukagua Utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya Chama hicho ya Mwaka 2020/2025.

















Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...