Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo na Mbunge wa Jimbo la Songea Mjini Mhe. Dkt. Damas Ndumbaro ameendelea na ziara ya Kiserikali ya Kata kwa Kata katika jimbo la Songea Mjini akisikiliza na kutatua kero mbalimbali za wananchi.

Katika ziara hiyo Mhe. Ndumbaro ameambatana na wataalam mbalimbali kutoka sekta ya elimu, afya, miundombinu na nishati ambao ili kutoa ufafanuzi na majibu ya hoja mbalimbali za wananchi.

Ziara hiyo inaendelea tena leo Julai 15, 2024 katika kata nyingine tatu za jimbo hilo.


Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...