Wanafunzi na wadau mbalimbali wakiendelea kujitokeza ili kuongeza uelewa juu ya utendaji wa Mamlaka ya Elimu Tanzania (TEA) katika Maadhimisho ya Kitaifa ya Juma la Elimu ya Watu Wazima yanayoendelea katika Viwanja vya Chipukizi mkoani Tabora.

Hafla hii inatoa fursa nzuri kwa jamii kuelewa umuhimu wa elimu ya watu wazima na jinsi TEA inavyochangia katika maendeleo ya elimu nchini.

Ni muhimu kwa kila mmoja wetu kujitokeza na kujifunza ili kuimarisha maarifa na ujuzi kwa maendeleo ya jamii zetu.




Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...