Wanafunzi na wadau mbalimbali wakiendelea kujitokeza ili kuongeza uelewa juu ya utendaji wa Mamlaka ya Elimu Tanzania (TEA) katika Maadhimisho ya Kitaifa ya Juma la Elimu ya Watu Wazima yanayoendelea katika Viwanja vya Chipukizi mkoani Tabora.
Hafla hii inatoa fursa nzuri kwa jamii kuelewa umuhimu wa elimu ya watu wazima na jinsi TEA inavyochangia katika maendeleo ya elimu nchini.
Ni muhimu kwa kila mmoja wetu kujitokeza na kujifunza ili kuimarisha maarifa na ujuzi kwa maendeleo ya jamii zetu.





Hafla hii inatoa fursa nzuri kwa jamii kuelewa umuhimu wa elimu ya watu wazima na jinsi TEA inavyochangia katika maendeleo ya elimu nchini.
Ni muhimu kwa kila mmoja wetu kujitokeza na kujifunza ili kuimarisha maarifa na ujuzi kwa maendeleo ya jamii zetu.





Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...