RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amewaapisha Mkuu wa Mkoa na Wakuu wa Wilaya aliowateua hivi karibuni.

Hafla hiyo imefanyika leo, tarehe 3 Julai 2025,Ikulu ya Zanzibar.

Walioapishwa ni:
1. MHE. HAMIDA MUSSA KHAMIS, KUWA MKUU WA MKOA KUSINI UNGUJA.
2. MHE. CASSIAN GALLOS NYIMBO, KUWA MKUU WA WILAYA MAGHARIBI A UNGUJA
3. MHE. RAJAB ALI RAJAB, KUWA MKUU WA WILAYA YA KATI UNGUJA
4. MHE. MIZA HASSAN FAKI, KUWA MKUU WA WILAYA MKOANI, PEMBA
5. MHE. MOHAMED ALI ABDALLAH KUWA MKUU WA WILAYA MJINI, UNGUJA
6. MHE. AMOUR YUSSUF MMANGA KUWA MKUU WA WILAYA MAGHARIBI B, UNGUJA.

Hafla hiyo imehudhuriwa na viongozi mbalimbali wa Serikali, vikosi vya Ulinzi na Usalama, pamoja na viongozi wa dini, wakiongozwa na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Mhe. Hemed Suleiman Abdulla.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...