-Viwanja vya Mwalimu J. K. Nyerere, Dar es Salaam
Meneja wa Huduma za Maabara wa Tume ya Madini, Mhandisi Mvunilwa Mwarabu, ameendelea kutoa elimu kwa wananchi kuhusu huduma mbalimbali zinazotolewa na maabara ya Tume katika Maonesho ya 49 ya Kimataifa ya Biashara ya Sabasaba (DITF).
Huduma hizo ni pamoja na uchambuzi wa sampuli za madini kwa kutumia teknolojia ya kisasa ya XRF, utoaji wa ushauri wa kitaalam kwa wachimbaji, wafanyabiashara wa madini na wawekezaji, pamoja na kusaidia kuhakikisha usahihi wa taarifa za kijiolojia na ubora wa madini yanayochimbwa nchini.
Wananchi wengi wameonyesha kuvutiwa na huduma hizo huku wakiahidi kuzitumia kwa maendeleo ya shughuli zao za madini.





Meneja wa Huduma za Maabara wa Tume ya Madini, Mhandisi Mvunilwa Mwarabu, ameendelea kutoa elimu kwa wananchi kuhusu huduma mbalimbali zinazotolewa na maabara ya Tume katika Maonesho ya 49 ya Kimataifa ya Biashara ya Sabasaba (DITF).
Huduma hizo ni pamoja na uchambuzi wa sampuli za madini kwa kutumia teknolojia ya kisasa ya XRF, utoaji wa ushauri wa kitaalam kwa wachimbaji, wafanyabiashara wa madini na wawekezaji, pamoja na kusaidia kuhakikisha usahihi wa taarifa za kijiolojia na ubora wa madini yanayochimbwa nchini.
Wananchi wengi wameonyesha kuvutiwa na huduma hizo huku wakiahidi kuzitumia kwa maendeleo ya shughuli zao za madini.






Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...