RAIS Mstaafu Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akibadilishana mawazo na Bill Gates usiku kuamkia leo Septemba 24, 2025 ambapo ameshiriki katika hafla ya “Goalkeepers” Jijini New York Marekani, iliyoandaliwa na Taasisi ya Bill Gates na kukutana na wadau mbalimbali.
Hafla hiyo ambayo ilihusu masuala ya afya ya watoto chini ya miaka mitano, ilikutanisha watu mashuhuri kutoka duniani kote.
Hafla hiyo ililenga kuendelea na uhamasishaji wa kuunga mkono uwekezaji katika afya kwa ujumla na maendeleo endelevu.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...