MERIDIANBET inakwambia kuwa Odds za moto zinakungoja leo hii kwani mechi kali zinatarajiwa kupigwa siku ya leo. Unachotakiwa kufanya ni kusuka jamvi lako la ushindi na ujiweke kwenye nafasi nzuri.

EPL kuna mechi moja kali ambapo Brighton atamenyana dhidi ya AFC Bournemouth ambapo wapo nafasi ya 15 huku wenyeji wao wakiwa nafasi ya 11. Mara za mwisho kukutana kati yao mwenyeji alipasuka. Meridianbet wameipa mechi hii ODDS KUBWA. Bashiri sasa.

Kule Hispania, LALIGA pia kuna mechi kali ya maana ambapo Sevilla atakuwa ugenini kusaka ushindi dhidi ya Elche ambao wapo nafasi ya 9 na wenyeji wao wapo nafasi ya 14 tofauti yao ikiw ani pointi 3 pekee hadi sasa. Nafasi ya kuondoka na ushindi unayo ukibashiri mechi hii pale Meridianbet leo.

Piga mshiko wa maana kwenye michezo ya Kasino ya mtandaoni kama vile Keno, Aviator, Poker, Roulette,Super Heli na mingine kibao. Jiunge leo kwa kutembelea tovuti ya meridianbet.co.tz au piga *149*10# kisha uanze safari yako ya ushindi.

SERIE A kule Italia kuna mechi mbili ambapo Cremonese atamenyana dhidi ya Hellas Verona huku mechi ya mwisho kukutana kati yao hakuna ambaye alikuwa mbabe kati yao. Meridianbet wameipa mechi hii Odds kubwa na machaguo zaidi ya 1000. Jisajili hapa.

Pia Lazio yeye atakuwa kibaruani kusaka ushindi dhidi ya Como 1907 ambao wamekuwa na mwendelezo wa matokeo mazuri kabisa kwenye ligi chini ya kocha mkuu Fabregas. Meridianbet wanakwambia hivi mechi hii inaweza badilisha maisha yako siku ya leo. Suka jamvi hapa.

SUPER LIG kule Uturuki nayo inatarajiwa kuendelea ambapo Konyaspor atakipiga dhidi ya Eyupspor ambao wapo nafasi ya 17 huku wenyeji wao wakiwa nafasi ya 13 kwenye ligi. Tofauti ya pointi kati yao hadi sasa ni 4 pekee. Nani kuondoka na ushindi leo?. Bashiri hapa.

Kwa upande wa Besiktas yeye atapepetana dhidi ya Kayserispor ambapo mara ya mwisho kukutana, mwenyeji aliondoka na ushindi mnono kabisa. Leo hii mgeni anataka kulipa kisasi na Meridianbet wamekupa Odds kubwa kwenye mechi hii ya leo. Jisajili hapa.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...