Home
Unlabelled
mzizima
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
MichuziBlogV2Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Mzizima hapo michuzi... Kuna watoto wazuri sana hapo(wakina dada) Halafu hao wahindi hapo shuleni wanatoa sana kafala watoto wa watu...Pesa gani sasa kama wewe kazi ni kuloga na kuua watu
ReplyDeletendio mkuu.,thats my alma mater.,nilsoma hapo O levo.,nakumbuka enzi za Mwl. mkuu Thind.,na Div 1 darasa zima. 4K..,shukrani mkuu.
ReplyDeleteYule Mr Thind, alikuwa mpiga bakora sana. Nakumbuka Michuzi ulipita siku moja pale.Wakati huo ndio kama umeanza kazi, Miaka ya themanini mwishoni, Jamani kuna anayejua alipo Moses Maji mtoto wa kamanda Maji, nasikia alikwenda Atlanta.
ReplyDeletemh!
ReplyDeletesie wengine DAR tumeiona wakati wa kuomba viza tu.
Hey mnanikumbusha mbali enzi ya Mr. Tind! Shule yangu jamani hiyo O-level.
ReplyDeletewaliosoma mzizima wote watoto wa mama.wewe subiri utawaona ucheki bob wao watakachoanza kuandika hapa.wajanja wote tulikuwa mitaa hiyo azania-jangwa-tambaza-zanaki..kidogo shaban mlikuwa masela.na sketi ya madada kidogo zilikuwa zinatia nyege..sema mlikuwa bangi mtu nyingi..chapa tembo(shule za jioni)mlikuwa na fujo tu nyie.
ReplyDeleteKuhusu Moses Maji ulizia watu wa Detroit,MI kama una mtu yeyote unayemfahamu kule, maana wadogo zake wako pale sasa sijui kama na yeye bado yupo au ameshahama.
ReplyDeleteThe guy with the ball needs some basketball basic lessons. Look at him. he just lifted one of his knee, he can't even jump! lift a knee like that could badly injure either his team mates or opponents.
ReplyDelete