Home
Unlabelled
twanga
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
MichuziBlogV2Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
duh ! michuzi vp hawa watu, mbona wana rangi nyingi tofauti tofauti, kulikoni kaka ??
ReplyDeleteyaani huyu Luiza ukimwangalia kwenye video ya tumetoka kwetu mahenge ndio utajua mkorogo ni nini!!!!!
ReplyDeleteHii staili ya ufungwa mbona inakuwa ni kama rip-off (geza) ya wajela-jela?
ReplyDeleteHalafu wafungwa wa Bongo magwanda yao si meupe, au siku hizi kuna "orange"? ...au ndio wanaiga marekani? Hehehe
All in all lakini muziki wa Twanga naufagilia, nitajitahidi kuzitafuta hizo nyimbo mpya kupitia marafiki waliokuja likizo watakaporudi Septemba nami nijiskie nyumbani
Hya mambo ya Guantanamo Bay!ila wanafanya kejeli kuingia kama wafungwa naye Asha katulia bila kuhoji nkwanini ni wafungwa! Lilian afadhali karufdi bwana, tulikuwa tunammiss sana alafu nasikia huko ughaibuni alikuwa hafanyi lolote kujiendeleza kimuziki, karibu dada usiende tena sawa?
ReplyDeleteHUYO LWIZA SURA CHUNGU,NA HIYO MIKOROGO NDO ANAJIHARIBU ZAIDI.SIJUI HANA MARAFIKI WA KUMWAMBIA?
ReplyDelete