choki akiwa na 'wafungwa' twanga pepeta wakati wa kuzindua 'passwodi' jana usiku dayamondi jubilei

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 5 mpaka sasa

  1. michuzi, kuna mwana blog mmoja alitoa ushauri huko yuma kwamba tunaomba picha za soka sasa, timu ya taifa iko kambini tunaomba picha tuone wanafanya nini. Tuko chini ya miguu yako mzee michuzi ingawa umekataa kutuwekea picha ya harusi ya taifa.

    ReplyDelete
  2. huyo jamaa wa 2 toka kulia nini kuweka tumbo nje namna hiyo utadhania wenzake wanamfanya mboga?

    ReplyDelete
  3. narudia swali langu la mwanzo.. wafungwa wa Bongo siku hizi magwanda ni orenji tena na sio meupe?

    ReplyDelete
  4. peter nguo nyeupe ziliondolewa michuzi bado tunasubiri picha za harusi ya taifa.

    ReplyDelete
  5. Guantanamo bay wafungwa wanavaa hivyo. TZ wana rangi fulani si kama hii. Nadhani wangevaa kama za wafungwa wa TZ hotuba zingetolewa kukanusha kuwa wafungwa hawavaoi hivyo na wangesababisha watu kuandamana kuunga mkono fikra sahihihi.teh teh teh!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...