hapa ni ukumbi wa ymca bongo mwaka 1989 na wimbo unaopigwa ni 'maiko jekson njooo, sitaaaaki, kama hutaki neeendaa...'

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 6 mpaka sasa

  1. Michuzi hujatulia wewe!!
    Hata hivyo umenikumbusha mbaaaali enzi za marehemu Kalikali, au kina Jerry Koto n.k n,.k
    Bravo

    ReplyDelete
  2. Well, some of us like his sense of humour.

    ReplyDelete
  3. Kumamae enzi hizoo babake wakati hakuna NGOMA wala UKIMWI. Ni mwendo wa kujirusha tu.

    ReplyDelete
  4. jamaa mwenye suruali ya rangi ya damu mziki umemwingia

    ReplyDelete
  5. Ukitaka kuamini kama ngoma ilikuwa ishaingia, hao unaowaona hapo kama kuna aliye hai, basi hawafiki watatu.

    ReplyDelete
  6. mwimbo anaozungumzia Michuzi ni aint no stoppin us, no stoppin' no one does it better, kwa wale vijana wa zamani kwenye movie ya breakdance.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...