nampa mangumi gado mdogo, robert mwampembwa, a.k.a 'bi mkora', mmoja wa wachora katuni mahiri bongo. namsaka kaka yake naye nimpe kibano huko aliko...
nampa mangumi gado mdogo, robert mwampembwa, a.k.a 'bi mkora', mmoja wa wachora katuni mahiri bongo. namsaka kaka yake naye nimpe kibano huko aliko...
Naam, Bw. Mdogo kazi yake naizimia. T'fadhali Mzee Michuzi, tutaarifu wapi Ibra Radi Washokera na Mzee wa Mwanza (najua unanipata kwenye Kava za Bongo na Sani)
ReplyDeleteMi ananiacha hoi yule Zuzu, akili yake haimtoshi hata kuvuka barabara, kila anachowaza yeye ni kituko yaani akitoa wazo tu kaharibu
ReplyDeleteMichuzi mpaka leo bado unamachungu na GADO wa kenya. Kweli nimeamini ukweli unauma sana. GADO baada ya kuwaeleza ukweli TZ MEDIA kujipendekeza kwa JK na kutuandikia habari za uongo wananchi ili kijiweka karibu na kikwete.Nakushauri kabla ya kukmtafuta GADO anza MBOWE wa CHADEMA kwa kuwaeleze kwamba TZ MEDIA mnawabaka wananchi kwa kijipendekeza kwa JK.MBOWE yupo karibu zaidi kutoka ofisini kwako, kuliko GADO
ReplyDelete