benki ya nmb iliwakilishwa pia na mh. shyrose bhanji

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 15 mpaka sasa

  1. huko bongo bwana kila mtu mheshimiwa, sasa huyu naye kawa mheshimiwa tangu lini, haya na wewe tukuite mheshimiwa michuzi

    ReplyDelete
  2. Michuzi, tuwekee picha za uwanja wa fisi na chaka la chui tuone hali halisi ya Wabongo wa upande mwingine.

    ReplyDelete
  3. Bwana Michuzi, tuwekee basi picha za uwanja wa fisi na chaka la chui tuwaone na wao wanavyojichana.

    ReplyDelete
  4. Kumbe Shy-Rose anaweza kuvaa nguo za heshima akitaka.

    ReplyDelete
  5. TANGU LINI HUYU GABACHORI AKAWA MWESHIMIWA? LABUDA MWESHIMIWA WA NGONO KWA WANAWAKE NA WANAUME PIA. NDIO MWENYEWE HUYU HANA MCHEZO. MJINI HAPA. WENYE TOTOZ WAZURI WAFICHENI.

    ReplyDelete
  6. kweli inajulikana cheo hicho cha nmb kapataje. wasomi wapo hapa walimpita lakini bongo bwana toa uchi upate cheo. na kweli wanaume ficheni wanawake zenu maana huyu muhindi shyrose bhanji ana uwezo wa kuwakonveti.

    ReplyDelete
  7. Kama hayo msemayo hapo juu ni kweli basi baada ya futari ni mtafutano asiye na mwana aeleke jiwe!Mpitanjia chifupa pia ni teja wake nini?michuzi je?maana huyu anapenda sana kumpigapiga picha!

    ReplyDelete
  8. NDIO MAANA WAKENYA WANATUONA LIMBUKENI. KILA KITU KUKOSOA NA KUTUKANA. HAMNA HAYA NYIE? AAAAHHH! MMEZIDI SASA. HEBU WEKENI SURA ZENU HAPA NA NYIE MPAKULIWE!

    ReplyDelete
  9. Anony hapo juu umesema kweli. Wabongo kwa kutaka sifa tu, hawajambo. Wenyewe wanaona siiiiiifa kutukana ana kukusoa kila kitu, kumbe tunachekwa na wenzetu ambao blogu zao wanajadili ya maana na bila matusi. Michuzi usikate tamaa na huna haja ya kuchuja maneno. We waache tu, wakikua wataakoma. Waswahili bwana! Hawana zuri...

    ReplyDelete
  10. Shy Roze kama unasoma haya usipaniki wala nini. Sie tunaokujua tunafahamu una MA in Journalism (Cardiff University) na Advance Diploma in Journalism (Nyegezi-SAUT) na umeshapiga mzigo kama mwandishi Daily News sio chini ya miaka 6! Sasa usomi gani unatakiwa kwa kiti ulichokalia zaidi ya huo? We acha na vijiba vyao vya roho. Wanatia kinyaa. Tena usikute hayo yote yanatoka kwa mtu mmoja alieikosa yeye ama ndugu yake kwa uhaba wa nondo kama zako. Wachekeni hao - hahahahaa!!

    ReplyDelete
  11. Hao wanaofikiria kuwa tunachekwa na wenzenu/wakenya kwa nini msihamie huko kama mnawaona ni mali zaidi yenu?

    ReplyDelete
  12. NAKUBALIANA KABISAAAAAAAA NA MUUNGWANA HAPO JUU, TOENI MAONI YA MAANA NA POINT JAMANI,,,SIO OOH! TUNACHEKWA NA WAKENYA!! HAMIENI KENYA BASI, SHENZI NYIE. INGIA HAPA TOA MADA YAKO, NA UACHANE NA KUSHAMBULIA YA WENZIO MAANA HUMU WATU WANAINGIA KUMWAGA UKWELI. ILA TU TUTUMIE LUGHA SAFI. LAKINI HIYO POINT YA KUTUMIA WAKENYA, KOMA WEYE HUNA MAANA.

    ReplyDelete
  13. kweli kuna patashika hapo asiye na mwana aeke jiwe, twiiiiii SHYROSE BHANJI anakula rada tu hapo baada ya futari ni totos gani ya kike aonde nayo kujipiga. AMINA CHIFUPA Anapenda NJEMBA bwana hata kidogo si mteja wa Shyrose LAKIIIIIINI kuna habari kuwa Shyrose ana uwezo wa ku=convert mwanamke yeyote. Kwa hiyo labda yuko njiani kunyemelea.

    ReplyDelete
  14. jamani mwaka huu amina amepania kwenye football yeye,bahati nasibu yeye,mayatima yeye,uislamu yeye,kwa kweli sijawahi kuona.kweli hela ya jambazi mpakanjia inarudi kwa uhakika kwa wananchi.amina mjanja sana amemfunika kabisa mumewe ili watu wasimuongelee kuwa ni zungu na jambazi,aminia amina

    ReplyDelete
  15. Kweli kugawa uchi unasaidia watu kupanda vyeo. Example Shyrose. Katembea na wengi huyo binti wa Kihindi na kichagga.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...