Home
Unlabelled
daladala
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Je, huyu ni Athumani Ukiwaona ditopile Mzuzuri aliyewahi enzi hizo kuwa mkufunzi hapo Kivukoni Ideological...?
ReplyDeleteIt will be interesting to see if the rule of law is adheredto in my dear country regardless.
ReplyDeleteThat is a challenge JK
Je raisi Kikwete ametoa usemi gani kuhusu tukio hili zito lenye ujinamizi wa kutisha? Kumbe viongozi wetu ni wabaya na wenye roho za kizimwi hivi (kumbuka, nyanya moja ikioza, basi tenga lote limeoza). Au wanajifunza haya mambo kwenye hivyo visemina vya Good Governance vinavyotolewa kiholela na nchi za kibeberu(NY, Washington, Sydney etc).
ReplyDeleteMichuzi, wengi wa wadau wako (wanablog) ni wapiga kelele tu zisizo na manufaa kwa watumiaji blog hii. Wanajua kusoma na labda ku-type katika keyboard. Seriously, hakuna hata mtu mmoja ametoa comments zake kuhusiana na hiyo picha hapo juu. Nashauri, kama hiyo picha inaweza kutosheleza kumchulia hatua huyo dereva tafadhali Michuzi ifikishe kwa wahusika yaani Polisi wa Usalama Barabarani tuone ni hatua gani zinaweza kuchukuliwa dhidi ya wavunja sheria hawa. Tutafurahi kuona blog inafuatia na vyombo husika vinafanyia kazi. Isaac - Kampala
ReplyDelete